Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitupa udongo kwenye kaburi la Dkt. Badriya Abubakar Gurnah, mke wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Zanzibar, Abdallah Juma Mabodi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Upanga jijini Dar es salaam Juni 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waombolezaji wakiwa wamebeja mwili wa Dkt. Badriya Abubakar Gurnah, mke wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Abdallah Juma Mabodi katika mazishi yaliyofanyika kwenye Makaburi ya Upanga jijini Dar es salaam Juni 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na ndugu na jamaa wa marehemu Dkt. Badriya Abdallah Gurnah, mke wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, Abdallah Juma Mabodi katika mazishi ya Daktari huyo yaliyofanyika kwenye makaburi ya Upanga jijini Dar es salaam, Juni 23, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...