Meneja Masoko na Mahusiano ya jamii wa Benki ya Exim, Bw Abdulrahman Nkondo akichangia damu wakati wa Bonanza la kijamii linalofahamika kama Tanzania On Twitter (TOT Bonanza) lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Anaemuhudumia ni Afisa Mwandamizi kutoka Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) Bw Peter Chami.
Afisa Uhamasishaji kutoka Mpango wa Taifa wa damu Salama- Kanda ya Mashariki Bi Fatuma Mjungu (Kushoto) akimuhudumia mmoja wa washiriki wa Bonanza la kijamii linalofahamika kama Tanzania On Twitter (TOT Bonanza) Bi Irene Lyimo aliejitokeza kuchangia damu wakati wa Bonanza hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...