Meneja Mawasiliano na Elimu kwa Umma,wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),Gaudensia Simwanza (wapili kulia)akitoka maelezo ya kiudhibiti  kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile(Mb) leo alipo tembelea banda la  Mamlaka hiyo katika maonesho ya 43 ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam.
 Afisa Elimu kwa Umma wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA),James Ndege akitoa elimu kwa wananchi namna Mamlaka hiyo inavyo kiudhibiti leo  walipo tembelea banda la  Mamlaka hiyo katika maonesho ya 43 ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), katika maonesho ya 43 ya Sabasaba mara baada ya kupata Maelezo ya kiudhibiti kwenye banda hilo tarehe 9 Julai, 2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...