Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi akizungumza wakati wa kongamano la Corporate Unwind lililoandaliwa na Smart Codes katika makao makuu yake jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Vodacom Tanzania ni kampuni ya mtandao wa simu inayoongoza Tanzania iliyojikita katika kuisaidia Tanzania kufikia uchumi wa kidigitali kwa kuvumbua mifumo suluhishi ya kidigijitali kwa kutumia teknolojia ya simu. Kongamano hilo lilikutanisha wadau mbalimbali kutoka sekta ya biashara na uvumbuzi pamoja na wafanyabiashara, taasisi na makampuni mashuhuri nchini Tanzania.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi akieleza jambo kwa baadhi ya washiriki wa kongamano la Corporate Unwind lililoandaliwa na Smart Codes katika makao makuu yake jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Vodacom Tanzania ni kampuni ya mtandao wa simu inayoongoza Tanzania iliyojikita katika kuisaidia Tanzania kufikia uchumi wa kidigitali kwa kuvumbua mifumo suluhishi ya kidijitali kwa kutumia teknolojia ya simu. Kongamano hilo lilikutanisha wadau mbalimbali kutoka sekta ya biashara na uvumbuzi pamoja na wafanyabiashara, taasisi na makampuni mashuhuri nchini Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...