Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James akisikiliza maeleza yaliyokuwa yanatolewa na Afisa mwandamiza Masoko na mahusiano kwa Umma wa Bodi ya wataalamu wa ununuzi na Ugavi (PSPTB), Shamim Mdee kuhusu kazi zinazofanywa na bodi hiyo kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Afisa mwandamiza Masoko na mahusiano kwa Umma wa PSPTB, Shamim  Mdee akimkabidhi zawadi Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James alipotembelea banda la Bodi la PSPTB  kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James akisaini kitabu cha wageni  cha PSPTB kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Doto James akimpongeza Afisa mwandamiza Masoko na mahusiano kwa Umma wa PSPTB, Shamim Mdee kwa niaba ya Bodi hiyo kwa kuwa washindi wa tatu kwenye kipengele kilichoshirikisha taasisi za serikali zinazojihusiha na wakala, wasimamizi na wadhibiti kwenye Maonesho ya 43 ya Biashara Kimataifa yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...