Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Waziri Mkuu wa Niger Mhe. Brigi Rafini alipowasili kwenye
Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Diori Hamani, Niamey Nchini Niger.
Makamu wa Rais anamuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye
mkutano wa 12 wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika
wenye lengo la kujadili masuala mbalimbali kuhusu Eneo Huru la Biashara
Afrika(African Continental Free Trade Area-AfCFTA) (Picha na Ofisi ya
Makamu wa Rais)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...