Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akizungumza kwa niaba ya Mhe. Spika na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun akimuelezea jambo Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu wakati wa kikao katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
  Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu (kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun na Ujumbe wake Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu ( wanne kutoka kulia) katika picha ya pamoja  na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la Zhejiang  lilopo nchini China, Mhe. GE  Huijun (wanne kutoka kushoto) wengine katika picha ni wasaadizi wa Viongozi hao. PICHA ZA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...