Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam. Katika pita pita zake akakutana na Crew nzima ya Michuzi TV ambayo imefunga kambi uwanjani hapo kurekodi na kutangaza kinachoendelea. Walipomuomba kupata naye picha ya pamoja Profesa Kabudi hakusita.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...