Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Abiria wa Kivuko cha MV Mwanza na MV Misungwi kuhusu ujenzi wa Daraja  litakalopita ziwani katika eneo la Kigongo na Busisi mkoani Mwanza. Mkandarasi wa Daraja hilo anatarajiwa kupatikana ndani ya miezi miwili na Daraja hilo litakuwa na urefu wa kilometa tatu zitakazopita majini. Daraja hilo litagharimu kiasi cha shilingi Bilioni 300.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono abiria wa Kivuko cha MV Mwanza na MV Misungwi mara baada ya kuzungumza nao katika eneo la Busisi Sengerema mkoani Mwanza.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea kupanda Kivuko cha MV Mwanza katika eneo la Busisi wakati akitokea Geita. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Mwanza mjini mara baada ya kuwasili akitokea mkoani Geita. PICHA NA IKULU



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...