Pichani wa pili kulia,Kaimu Mkurugenzi Tume ya Umwagiliaji Bwa.Marco Ndonde akimsikiliza Mwenyekiti wa Ushirika Wakulima Wadogowadogo  Kilimo cha Umwagiliaji Mpunga Dakawa,Mvomero mkoani Morogoro Bwa.Thomas Kakema alipokuwa akimuonesha namna Miundombinu ya Skimu za Umwagiliaji zilivyoboreshwa katika shamba hilo la Ushirika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...