Mkurugenzi wa Kinga Dkt.Leonard Subi kushoto akimfanyia upasuahi mmoja wa wagonjwa waliofika kupata huduma ya upasuaji wa mabusha kwenye kliniki hiyo 

************** 

Wizara ya Afya kupitia Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Magonjwa Yaliyokuwa Hayapewi Kipaumbele imefanya uzinduzi wa kiliniki tembezi ya upasuaji wa Mabusha kwa wananchi wilayani Nachingwea Mkoani Lindi. 

Akizindua kliniki hiyo Mkurugenzi wa Kinga Dkt.Leonard Subi amesema mpaka sasa wagonjwa 353 wamekwishapasuliwa na zoezi hilo litaendelea wilayani hapo na baadae kuhamia wilaya Ruangwa. Matarajio ni kufikia wagonjwa 600 Kwa mkoa wa Lindi. 

Ugonjwa wa Mabusha na Matende umeathiri zaidi ya watu Milioni 120 Duniani na hapa nchini takribani watu 25,000 wanakadiriwa kuwa na Mabusha au Matende .Ugonjwa huu huathiri sehemu mbalimbali za mwili wengi miguuni au mkononi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...