Mkurugenzi Taasisi ya Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia, akizungumza na wanafunzi waliohudhuria maonyesho ya Techfest yaliyoandaliwa na kampuni ya Robotech kwa ajili ya kuinua vijana kwenye fani ya technolojia, jijini Dar es Salaam, wikiendi hii . Kampuni ya vodacom Kupitia mpango wake wa instant schools inaendelea kuinua na kuhimiza vijana kujiingiza katika fani ya teknolojia ili kutanua uelewa wao na kupanua fursa zao kupata ajira kwenye masoko ya dunia.
 Mkurugenzi Taasisi isiyo ya kiserikali ya Vodacom Tanzania Foundation, Rosalynn Mworia akitazama bunifu mbali mbali zilizofanywa na wanafunzi katika maonyesho ya Techfest yaliyoandaliwa na kampuni ya Robotech kwa ajili ya kuinua vijana kwenye fani ya teknolojia, jijini Dar es Salaam, wikiendi hii. Kampuni ya vodacom Kupitia mpango wake wa Instant schools inaendelea kuinua na kuhimiza vijana kujiingiza katika fani ya technologia ili kutanua uelewa wao na kupanua fursa zao kupata ajira kwenye masoko ya dunia. Alieambatana naye ni muandaaji wa maonyesho hayo Shaukatal Zahir.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...