Mwenyekiti wa klabu ya gofu ya Jeshi la Ulinzi la Tananchi wa Tanzania ya Lugalo amewakaribisha wageni wanaokuja kwa ajili SADC kwenda kucheza mchezo katika uwanja wao.

Akizungumza na waandishi wa Habari Mwenyekiti wa KLabu hiyo Brigedia Jenerali Mstaafu Michael Luwongo amesema klabu hiyo imejiandaa kuwapokea wageni wowote

Akizungumzia Mafanikio ya Klabu hiyo amesema anajivunia Timu ya Wanawake ambayo imekuwa ikifanya vyema katika mashindano mbalimbali ikiwemo ya Coast Open yaliyofanyika Mombasa nchini kenya na wachezaji wa Lugalo kuibuka washindi.

Katika mashindano ya hivi karibuni ya TPC open 2019 mchezaji Zumla Hamisi ameibuka na Ushindi kwa Wanawawake huku katika kundi la wachezaji wa kulipwa Richard Mtweve alishika nafasi ya pili na Nafasi ya Tatu Abdalah Yusuph.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...