Afisa Sheria wa Bunge Ndg. Mossy Lukuvi akitoa Elimu kwa Wagenin
waliotembelea banda la Bunge hii leo kwenye Maonesho ya Wakulima ya
Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Afisa Utafiti wa Bunge Ndg. Aziza Makwai akitoa Elimu kwa mgeni aliyetembelea banda la Bunge hii leo kwenye Maonesho ya Wakulima ya Nanenane yanayoendelea Jijini Dodoma. (Picha na Ofisi ya Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...