Mkurugenzi Msaidizi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais, Kemilembe Mutasa akiongea na Wajumbe wa kikao kinachohusu Katazo la mifuko ya plastiki, kilichoshirikisha Maafisa Mazingira wa Mikoa ya Tanzania kikao hiko kimeandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma katika ukumbi wa Nyaraka.
Injinia Joseph Kiruki kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais akitoa mada juu ya katazo la mifuko ya plastiki katika kikao cha Maafisa Mazingira wa Mikoa kilichoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais kilichofanyika jijini Dodoma
Mwanasheria kutoka Baraza la Usimamizi wa hifadhi ya Mazingira (NEMC) Bwana Vincent Haule akifafanua jambo wakati wa kikao cha Maafisa ya Mazingira wa Mikoa kilichoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma
Sehemu ya Wajumbe waliohudhsuria kikao cha Maafisa Mazingira wa Mikoa wakifuatilia mada kwa makini wakati wa kikao cha Maafisa Mazingira wa Mikoa kilichoandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...