Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni,akitoka kukagua Kituo cha Polisi cha Mbalizi ambacho Serikali imedhamiria kukihamisha kutokana na ufinyu wa eneo,kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi,Ulrich Matei.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi,Ulrich Matei(kushoto),akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni baada ya kukagua Kituo cha Polisi Mbalizi ambacho serikali imedhamiria kukihamisha kutokana na ufinyu wa eneo.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...