Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Balozi wa Japan nchini, Shinichi Goto wakati wa Mkutano wa Wabunge kutoka Bara la Afrika na Asia unaohusu masuala ya Idadi ya watu na Maendeleo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua Mkutano wa Wabunge kutoka Bara la Afrika na Asia unaohusu masuala ya Idadi ya watu na Maendeleo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akifungua Mkutano wa Wabunge kutoka Bara la Afrika na Asia unaohusu masuala ya Idadi ya watu na Maendeleo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Wabunge kutoka Bunge la India mara baada ya kufungua wa Mkutano wa Wabunge kutoka Bara la Afrika na Asia unaohusu masuala ya Idadi ya watu na Maendeleo katika Hoteli ya Serena, Jijini Dar es Salaam.
PICHA NA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...