Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura alipomtembela leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.


Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu, Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai (hayupo kwenye picha) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.


Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akifurahia jambo na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, Mhe. Eugene Kayihura leo katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kulia ni Katibu wa Spika, Ndg. Said Yakubu, Balozi huyo alimtembelea Spika Ndugai (hayupo kwenye picha) kwa ajili ya kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini Tanzania.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...