Daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akiwaeleza huduma za matibabu ya moyo wananchi alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya viwanda ya SADC yaliyomalizika jana jijini Dar es Salaam huduma .
Daktari wa chumba cha upasuaji wa moyo Tryphone Kagaruki kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) akimwelekeza Bhupendra Vaghele jinsi upasuaji wa moyo unavyofanyika alipotembelea banda la Taasisi hiyo wakati wa maonesho ya viwanda ya SADC yaliyomalizika jana jijini Dar es Salaam.
Daktari bingwa wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Pedro Pallangyo akimtazama Mustafa Abdulkadir akisaini kitabu cha wagonjwa alipotembelea banda la Taasisi hiyo kwa ajili ya kufahamu huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa wakati wa maonesho ya viwanda ya SADC yaliyomalizika jana jijini Dar es Salaam huduma .
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...