Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (aliyevaa Kaunda suti), akisikiliza maelezo kutoka kwa Mrakibu Muandamizi wa Uhamiaji, Bakari Mohammed Ameir, wakati wa ziara ya kukagua shughuli za Ulinzi na Usalama zinavyoendelea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Visiwani Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akipita kwenye mashine ya ukaguzi wakati wa ziara yake ya kukagua shughuli za Ulinzi na Usalama ,alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Visiwani Zanziba
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa ziara ya kukagua shughuli za Ulinzi na Usalama zinavyoendelea katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, Visiwani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (wapili kulia), akiangalia mashine itakayotumiwa na Idara ya Uhamiaji ikiwa ni utekelezaji wa mabadiliko ya teknolojia kutoka pasi za zamani za kusafiria kwenda kadi za kusafiria za kielektroniki, alipotembelea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,Visiwani Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...