Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Plc, bw. Sunil Colaso akimwaga udongo ishara ya kuuaga mwili wa marehemu Omari Rashid Nundu aliyekuwa Mwenyekiti wa bodi ya Airtel Tanzania Plc aliyefariki siku ya Jumatano Septemba 11, 2019.
Mkurugenzi Mkuu wa Airtel Tanzania Plc, bw. Sunil Colaso akisaini kitabu cha maombolezo,alipo hudhuria msibani kwa aliyekua Mwenyekiti wa bodi ya Airtel Tanzania Plc aliyefariki siku ya jumatano Septemba 11, 2019.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...