Mhe. Job Ndugai na Katibu wa CPA Kanda ya Afrika, Ndg. Stephen Kagaigai
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akizungumza jambo wakati wa kikao cha kamati ya Marekebisho ya Sheria Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika walipokaa leo Septemba 1, 2019 katika hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa Mjini Zanzibar. Kushoto ni Mjumbe wa kamati na Naibu Spika wa Bunge la Afrika ya kusini, Mhe. Lechesa Tsenoli na Mwenyekiti wa kamati ya Wawakilishi wa Kanda Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola kanda ya Afrika, Mhe. Bernard Sibalatani 






Wajumbe Kamati ya Wawakilishi wa Kanda Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Bernard Sibalatani (katikati) wakati wa kikao kilichofanyika leo Septemba 1, 2019 katika hoteli ya Madinat Al Bahr Business and Spa Mjini Zanzibar.
Mwenyekiti wa kamati ya Fedha na Mipango Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika, Mhe. Elijah Okupa (katikati) akiongoza kikao hicho kilichofanyika leo Septemba 1, 2019 katika hoteli ya Madinat Al Bahr Mjini Zanzibar. Kushoto ni Spika wa Bunge na Mwenyekiti wa Kamati ya Bodi ya Kampuni ya uwekezaji CPA Kanda ya Afrika


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...