Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw.Bernad Patrick( kulia) akizungumza na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam wakati alipokuwa akimtambulishwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Susan Mlawi (kushoto) mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya watumishi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kituo cha Dar es Salaam wakimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu wa wizara hiyo Bw.Bernad Patrick (hayupo pichani) wakati alipokuwa anatambulishwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Susan Mlawi (hayupo pichani) mapema hii leo jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali watu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw.Bernad Patrick akizungumza na watumishi wa wizara hiyo kituo cha Dar es Salaam wakati alipokuwa akimtambulishwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Susan Mlawi mapema hii leo jijini Dar es Salaam.Picha na WHUSM – Dar es Salaam
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...