Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika, Ndg. Said Yakubu (kulia) akisalimiana na Mwakilishi Maalum wa Spika wa Pakistan, Ndg. Shandana Gulzar Khan ambae pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa dunia wa Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola. Shandana Gulzar Khan ni mmoja kati ya wageni maalum waalikwa katika Mkutano wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola unaoendelea Mjini Zanzibar.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Said Yakubu (kulia) akizungumza na Mwakilishi Maalum wa Spika wa Pakistan, Ndg. Shandana Gulzar Khan ambae pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa dunia wa Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola. Shandana Gulzar Khan ni mmoja kati ya wageni maalum waalikwa katika Mkutano wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola unaoendelea Mjini Zanzibar.
Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, Ndg. Said Yakubu (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mwakilishi Maalum wa Spika wa Pakistan, Ndg. Shandana Gulzar Khan ambae pia ni mgombea wa nafasi ya Uenyekiti wa dunia wa Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola. Shandana Gulzar Khan ni mmoja kati ya wageni maalum waalikwa katika Mkutano wa Chama cha Mabunge Jumuiya ya Madola unaoendelea Mjini Zanzibar.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...