Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Chuo cha Maendeleo ya Wananchi cha Ilula akiwa katika ziara ya wilaya ya Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto kwa Waziri Mkuu ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu, Sayansi na Tekinoloji, Dkt. Avemaria Semakafu na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto ni mkewe Mary, kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Jasephat Kandege, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy na wa pili kushoto ni Mbunge w Kilolo, Venance Mwamoto.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo, Septemba 27, 2019. Kushoto ni mkewe Mary, kulia ni Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Jasephat Kandege, wa pili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Happy na wa nne kushoto ni Mbunge wa Kilolo, Venance Mwamoto.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la mradi wa maji wa Ilula wilayani Kilolo Septemba 27, 2019. Wa pili kulia ni mkewe Mary, wa pili kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Iringa, Ally Happy na kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Kilolo, Asia Abdallah. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...