Menyekiti wa Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (SoCATT), ambaye pia ni Katibu wa Bunge la Zambia, Ndugu Cesilia Mbewe akizungumza katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho, Ndugu Michael Sialai na kushoto ni Katibu Mezani wa Bunge la Zambia, Ndugu Elsio Simpamba
Wajumbe wa Chama cha Makatibu Mezani cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola (SoCATT), wakiwa katika Mkutano wa Mwaka wa chama hicho uliofanyika katika Hoteli ya Madinat Al Bahr Visiwani Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...