Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(watatu kulia),Mjumbe kutoka Shirika la Kuwawezesha Vijana la Abdullah,Rashid Ahmed(wanne kulia) wakimkabidhi Fundi Magari, Ally Saleh(wakwanza kulia),boksi maalumu la vifaa vya ufundi wakati wa kukabidhi vifaa mbalimbali kwa vijana wajasiriamali ikiwa na lengo la kuwasaidia kukuza vipato vyao na kuwaweka mbali na makundi hatarishi.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(watatu kulia),Mjumbe kutoka Shirika la Kuwawezesha Vijana la Abdullah,Abdallah Mrusi(wanne kulia) wakimkabidhi Fundi Bodaboda,Mohammed Ally (wakwanza kulia),boksi maalumu la vifaa vya ufundi wakati wa kukabidhi vifaa mbalimbali kwa vijana wajasiriamali ikiwa na lengo la kuwasaidia kukuza vipato vyao na kuwaweka mbali na makundi hatarishi.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni(watatu kulia),akimkabidhi Mgeni Awadhi cherehani ikiwa na lengo la kumsadia kukuza kipato katika shughuli zake za ujasiriamali.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (watatu kulia), Mjumbe kutoka Shirika la Kuwawezesha Vijana la Abdullah, Abdallah Mrusi (wanne kulia) wakimkabidhi Hussein Ally (wakwanza kulia), kifaa maalumu wakati wa kukabidhi vifaa mbalimbali kwa vijana wajasiriamali ikiwa na lengo la kuwasaidia kukuza vipato vyao na kuwaweka mbali na makundi hatarishi.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi






Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, akizungumza wakati wa Hafla ya Utoaji wa Vifaa mbalimbali vya Ujasiriamali kwa vijana ili kuwaepusha na makundi hatarishi kwa kuwawezesha katika kujiendeleza kiuchumi kwa kufanya kazi za uzalishaji.Hafla hiyo imefanyika Visiwani Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...