Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (aliyesimama) akitoa mada kwenye kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Mikoa na Vikosi, leo Jijini Dar es salaam, kikao ambacho kinalenga kuweka mikakati mbalimbali ya kiutendaji ndani ya Jeshi hilo. Picha na Jeshi la Polisi.
Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini SACP David Misime (kushoto) akitoa mada kwenye kikao Kazi cha Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi na Makamanda wa Mikoa na Vikosi,leo Jijini Dar es salaam, kikao ambacho kinalenga kuweka mikakati mbalimbali ya kiutendaji ndani ya Jeshi hilo. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...