Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wakeRais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveniwakiangalia mabanda mbalimbali ya wafanyabiashara waTanzania na Uganda kabla ya kuzungumza na wafanyabiashara
wa Mataifa hayo katika Ukumbi wa Julius Nyerere Convention
Centre jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha yapamoja na Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri KagutaMuseveni kabla ya kuelekea katika mkutano wa
Wafanyabiashara wa Uganda na Tanzania uliofanyika katika
ukumbi wa mkutano wa Mwalimu Nyerere
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katikamazungumzo na Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri KagutaMuseveni mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wakeRais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveniwakiangalia mabanda mbalimbali ya wafanyabiashara wa
Tanzania na Uganda kabla ya kuzungumza na wafanyabiasharawa Mataifa hayo katika Ukumbi wa Julius Nyerere ConventionCentre jijini Dar es Salaam.
Rais wa Uganda Mheshimiwa Yoweri KagutaMuseveni akizungumza na wadau mbalimbali wa biasharakutoka Uganda na Tanzania katika mkutano wao wamajadiliano uliofanyika katika Ukumbi wa Julius NyerereConvention Centre jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza nawadau mbalimbali wa biashara kutoka Uganda na Tanzaniakatika mkutano wao wa majadiliano uliofanyika katika Ukumbi
wa Julius Nyerere Convention Centre jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...