RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Katibu wa Kamati Kuu  ya Chama cha Kikomunisti cha China na “Vice General Manager of China National Research Institute of Food Fermentation Industries Co.Ltd Bw. Dong Weihong, akiwa na ujumbe wake,walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na Rais leo.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi zake Zanzibar.Mhe. Xie Xiuowu, akiwa na Katibu wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti na” Vice General Manager of China National Research Institute of Food Fermentation Industries Co.Ltd “ Bw. Dong Weihong, walipofika Ikulu kwa mazungumzo leo, 10-9-2019.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...