Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki (wa pili kulia) akiwa katika mazungumzo na Waziri Mstaafu, Prof. Mark Mwandosya, Balozi Mstaafu Juma Mwapachu (kulia) pamoja na Balozi Mstaafu Ami Mpungwe walipokutana jijini Dar es salaam hivi karibuni. wa pili kushoto ni Max Boqwana, Afisa Mtendaji Mkuu wa Thabo Mbeki Foundation.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...