Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki (wa pili kulia) akiwa katika mazungumzo na Waziri Mstaafu, Prof. Mark Mwandosya, Balozi Mstaafu Juma Mwapachu (kulia) pamoja na Balozi Mstaafu Ami Mpungwe walipokutana jijini Dar es salaam hivi karibuni. wa pili kushoto ni Max Boqwana, Afisa Mtendaji Mkuu wa Thabo Mbeki Foundation.
Home
HABARI
RAIS MSTAAFU WA AFRIKA KUSINI THAMBO MBEKI AKUTANA NA VIONGOZI WAANDAMIZI WASTAAFU WA TANZANIA JIJINI DAR
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...