RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakati wa mkutano wa Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Wizara hiyo kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika Ikulu Zanzibar leo 3-9-2019

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Issa Haji Gavu, akiwasilisha ripoti ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa Julai 2018 hadi Juni 2019, kulia Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg.Salum Kassim Ali


BAADHI ya Watendaji wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakifuatilia taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Ofisi yao kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.


NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg Salum Kassim Ali, akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, , wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, hayuko pichani.


BAADHIU ya Wakurugenzi wa Wizara ya Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, wakifuatilia uwasilishwaji wa Ripoti ya Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi kwa Ofisi yao kwa mwezi Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, hayupo pichani.


MSHAURI wa Rais Masuala ya Sanaa na Utamaduni Mhe. Chimbeni Kheri , akizungumza wakati wa mkutano wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kuzungumzia Utekelezaji wa Bajeti na Mpango Kazi wa Ofisi hiyo kwa mwezi wa Julai 2018 hadi Juni 2019, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...