Kazi ya unjezni wa  Machinjio ya kisasa ya Vingunguti ukiendelea kwa kasi jijini Dar,ujenzi huo unafanyika usiku na mchana,huku Mkuu wa Mkoa Mh Paul Makonda akikesha na kushiriki kwa ukamilifu kumwaga zege kuhakikisha mradi huo muhimu kwa Wakazi wa jiji la Dar na Watanzania kwa ujumla unakimilika mapema iwezekanavyo.
 Mkuu wa Mkoa Mh.Makonda akishiriki kuweka zege kwenye moja ya nguzo 
 Rc Makonda akiwana baadhi ya wajenzi wa mradi huo kwa pamoja wakishuhudia unwagaji zege kwenye maeneeo mbalimbali ukiendelea 
 Ujenzi ukiendelea






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...