WAFANYABIASHARA wa mji wa Mafinga Mkoani Iringa wamesema kuwa mfumo wa kusajili na kujipatia leseni kwa njia ya Mtandao inayotolewa na wakala wa usajili wa biashara na leseni(Brela).
Afisa Biashara Mwandamizi kutoka Wizara ya Biashara na Viwanda,Boniface Mrema akizungumza mara aada ya kutoa mafunzo wezeshi kwa wafanyabiashara wa Mafinga Iringa. Amesema kuwa mafunzo hayo yanayotolewa na wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) yatawasaidia wafanyabiashara wa mji waMafinga kwaajili ya kujaza na kupata Leseni za biashara zao kwa njia ya mandao hapo hapo walipo kwa kutumia Kompyuta, Simu na kifaa chochote kinachoweza kuunganishwa na intaneti.
Mfanyabiashara kutoka mji wa Mafinga akizungumza jinsi alivyonufaishwa na mfumo wa kujipati leseni za Biashara kwa njia ya Matndao inayotolewa na wakala wa kusajili biashara na Leseni.
Afisa Leseni Mwandamizi -Brela, Abas Cothema.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...