Bwala linalotumika katika kilimo cha umwagiliaji katika Skimu ya Umwagiliaji Uliyanyama lenye mita za ujazo milioni mbili.
 Katika picha ni Banio linalopokea maji kutoka katika Bwawa la Umwagiliaji Ulianyama Wilayani Sikonge na kupeleka maji katika mfereji na mashamba ya kilimo cha Umwagiliaji katika Skimu hiyo.
 Katika picha ni moja ya miundombinu iliyojengwa kiufanisi katika skimu ya kilimo cha umwagiliaji ya Uliyanjama iliyopo Wilayani Sikonge Mkoani Tabora ili kuweza kumudu kasi ya maji yanayoingia katika mashamba na kuzuwia upotevu wa maji na mmomonyoko wa ardhi.
 Katika Picha ni magunia ya mpunga katika moja ya ghala la kuhifadhia nafaka lililojengwa na Halmashauri ya Wilaya ya Sikonge kayika skimu ya ka Kilimo cha Umwagiliaji Uliyanyama Mkoani Tabora.

Bw. Simon Kalosa katibu wa chama cha umwagliaji cha Uliyanyama Wilayani Sikonge Mkoani Tabora, akiongea kuhusu mafanikio yaliyopatika katika skimu hiyo baada ya Uboreshaji wa Miundombinu ya umwagiliaji.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...