Kamanda wa Polisi Mkoani Kagera. Revocatus Malimi akitoa taarifa kwa wanahabari.

Watu 10 Wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Kagera kwa Tuhuma za wizi wa Mtihani Darasa la Saba, Tukio hilo limetokea Wilayani Ngara Mkoani Kagera Tarehe 12 Septemba likiwahusisha Walimu watano na Wasimamizi watano akiwemo Mkuu wa Shule Husika, Shule ya Msingi Kumnazi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...