Kamanda wa Polisi Mkoani Kagera. Revocatus Malimi akitoa taarifa kwa wanahabari.
Watu 10 Wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Kagera kwa Tuhuma za wizi wa Mtihani Darasa la Saba, Tukio hilo limetokea Wilayani Ngara Mkoani Kagera Tarehe 12 Septemba likiwahusisha Walimu watano na Wasimamizi watano akiwemo Mkuu wa Shule Husika, Shule ya Msingi Kumnazi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...