Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akiangalia kitenge aina ya Batiki mara baada ya kutembelea banda la watu wenye ulemavu katika Tamasha la JAMAFEST linaloonesha utamaduni na sanaa wa nchi za Afrika mashariki linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akizungumza na Fundi Selimala ambaye ni mremavu wa macho mara baada ya kutembelea banda la watu wenmye ulemavu waliohudhuria katika maonesho ya tamasha la JAMAFEST linaloonesha utamaduni na sanaa wa nchi za Afrika mashariki linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Kazi za mikono zikiendelea katika banda la watu wenye ulemavu katika tamasha la JAMAFEST.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akizungumza na fundi cherehani mara baada ya kutembelea banda la watu wenye ulemavu katika maonesho ya tamasha la JAMAFEST linaloonesha utamaduni na sanaa wa nchi za Afrika mashariki linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akiangalia nguo za wajasiliamali zilizoshonwa kwa mkono hii ni katika Tamasha la Maonesho ya JAMAFEST linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akiangalia kwa mshangao Mkoba uliotengenezwa kwa vifuu vya nazi na shanga kwaajili ya kupendezesha. Hii ni katika Tamasha la JAMAFEST linaloonesha utamaduni na sanaa wa nchi za Afrika mashariki linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani wa Tanzania Kangi Lugola akizungumza na afisa wa wizara ya maliasili na utalii katika maonesho ya tamasha la JAMAFEST linaloonesha utamaduni na sanaa wa nchi za Afrika mashariki linaloendelea kufanyika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...