Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto) akimuuliza swalimshiriki kutoka nchini Uganda wakati waziri huyo alipotembelea kujionea Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(JAMAFEST) linaloendelea hii leo Septemba 24, 2019 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akiangalia nguo ya batikitoka kwa wajasiriamali wa nchini Tanzania wakati waziri huyo alipotembelea kujionea Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(JAMAFEST) linaloendelea hii leo Septemba 24, 2019 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiangalia mkoba
uliotengenezwa kwa kifuu cha nazi toka kwa wajasiriamali wa nchini Tanzania wakati waziri huyo alipotembelea kujionea Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(JAMAFEST) linaloendelea hii leo Septemba 24, 2019 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kulia) akimuangalia MzeeAbdallah Nyangalio fundi cherehani asiye ona wakati waziri huyo alipotembeleakujionea Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki(JAMAFEST) linaloendelea hii leo Septemba 24, 2019 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Picha na WHUSM – Dar es Salaam
24 Septemba, 2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...