Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na ujumbe kutoka China Academy of Building Research, ambao umekuja kufanya upembuzi yakinifu kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa upanuzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete wa awamu ya pili, leo Septemba 4.2019. Mradi huo ni miongoni mwa matunda ya ziara ya Waziri Mkuu aliyoifanya nchini China Oktoba 31, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe kutoka China Academy of Building Research, ambao umekuja kufanya upembuzi yakinifu kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa upanuzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete wa awamu ya pili, leo Septemba 4.2019. Mradi huo ni miongoni mwa matunda ya ziara ya Waziri Mkuu aliyoifanya nchini China Oktoba 31, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...