Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Steven Kebwe, wakati akiwasili katika makao makuu ya kata ya Ifakara, Wilayani Kilombero Septemba 14.2019. Waziri Mkuu yupo mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ya siku tano.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akipokea taarifa ya Mkoa, kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Steven Kebwe, baada ya akiwasili katika makao makuu ya kata ya Ifakara, Wilayani Kilombero Septemba 14.2019.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akizungumza na uongozi wa Mkoa wa Morogoro, mara baada ya kuwasili katika makao makuu ya kata ya Ifakara, Wilayani Kilombero Septemba 14.2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...