Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akifuatilia kwa makini maonesho ya mavazi wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza akionesha vazi alilobuniwa na mbunifu wa mavazi wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya wananchi waliohudhuria maonesho ya mavazi wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mbunifu mkongwe wa mavazi hapa nchini Tanzania, Mustapha Hassanali akizungumza wakati wa maonesho ya mavazi katika Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la JAMAFEST nchini Tanzania, Joyce Fissoo akizungumza wakati wa maonesho ya mavazi katika Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Baadhi ya washiriki wa maonesho ya mavazi wakipita jukwaani wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe akifuatilia ratiba kwa makini ya maonesho ya mavazi wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) hapo jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Mshindi wa taji la Dunia kwa warembo wasiosikia, Winfrida Brayson aki



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...