Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linatangaza orodha ya majina ya nyongeza ya vijana Operesheni Kikwete na Operesheni Magufuli waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya askari wa Idaraya Uhamiaji.

Vijana hao idadi16 wanatakiwa kuripoti katika Chuo Cha Uongozi cha Jeshi la Kujenga Taifa, kilichopo Kimbiji Jijini Dar es Salaam ifikapo tarehe 26 Septemba 2019 tayari kwa kuungana na vijana wenzao waliochanguliwa awali.

Uteuzi huo unafuatia usaili uliofanywa na Idara ya Uhamiaji mwezi Agosti 2019 kwenye Kambi ya Mgulani JKT jijini Dar es Salaam.

Orodha kamili ya majina ya vijana waliochaguliwa na aina ya vifaa wanavyotakiwa kwenda navyo, inapatikana kwenye tovuti ya JKT ambayo ni www.jkt.go.tz

Imetolewana:
Kurugenziya Habarina Uhusiano
Makao Makuu ya JKT
Tarehe 24 Septemba 2019


ORODHA YA MAJINA YA NYONGEZA YA VIJANA WA JKT OPS KIKWETE NA OPS MAGUFULI WANAOTAKIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI WA UHAMIAJI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...