Vijana wa Chipukizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Misungwi wakimvisha skafu Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza Salum Kalli alipokwenda kwenye ziara ya kikazi katika kata za Mbarika na Misasi jana.
Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli, akizungumza na Makatibu wa Kata na Matawi wa Chama (hawapo pichani) wa kata za Mbarika na Misasi kwenye tarafa ya Misiasi wilayani Misungwi.Wa pili kutoka kulia ni Katibu wa CCM Misungwi, Latifa Malimi.
Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza Salum Kalli akisitiza jambo kwa makatibu wa matawi na kata za Misiasi na Mbarika wilayani Misungwi jana.
Katibu wa CCM Wilaya ya Misungwi, Latifa Malimi (kulia) akipokea bendera 550 kutoka kwa Katibu wa CCM Mkoa wa Mwanza, Salum Kalli (kushoto), ukiwa ni utekelezaji wa maagizo ya Katibu Mkuu Dk. Bashiru Ally, aliyoyatoa wakati wa ziara yake mapema mwezi Agosti mwaka huu.Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Misungwi, Juma Sweda.

Picha na Baltazar Mashaka

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...