Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma (katikati) akizungumza na wajumbe wa Baraza la Taasisi ya Usuluhishi Tanzania( Tanzania Institute of Arbitrators) waliofika ofisini kwake leo, iliyopo katika Mahakama ya Rufaa Tanzania kwa lengo la kujitambulisha.
Mjumbe wa Baraza la Taasisi ya Usuluhishi Tanzania, Frank Mwalongo akizungumza jambo wakati wa mazungumzo hayo.
Mjumbe wa Baraza la Taasisi ya Usuluhishi Tanzania, Larissa Leach (wa pili kulia)akizungumza jambo wakati wa mazungumzo hayo.
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma (wa nne kulia), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Taasisi ya Usuluhishi Tanzania(Tanzania Institute of Arbitrators). Wa pili kulia ni Mwenyekiti wa wajumbe wa Baraza la Taasisi ya Wasuluhishi Tanzania, Gabriel Malata (kulia).(Picha na Magreth Kinabo)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...