Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Oktoba 20,2019 amekutana na Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Wizara ya Kilimo katika kikao cha kazi kilichofanyika kwenye Makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es salaam. Pichani, Waziri Mkuu akizungumza na Waziri wa Kilimo, Japhet Hasunga (wa pili kulia), Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba (wa tatu kulia), Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe (wa pili kushoto), Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Mhandisi Mathew Mtigumwe, na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Profesa Siza Tumbo. (Picha na ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...