MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua Mkoani, akiwa katika ziara yake Pemba
MZEE Issa Nassor Issa akichangia wakati wa mkutano wao na Makamu Mwenyekiti wa CC Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Mohammed Juma Pindua Mkoani Pemba.
MZEE Mohammed Abass Mselem, akizungumza na kutowa shukrani kwa niaba ya Wazee wa CCM wa Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba wakati wa mkutano wao na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, yaliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua Mkoani Pemba.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekitiu wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mzee Mohammed Abass Mselem, baada ya kutowa neno la shukrani kwa niaba ya Wazee wa CCM Wilaya ya Mkoani Pemba, katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Mohammed Juma Pindua Mkoani Pemba.(Picha na Ikulu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...