Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle aliyevaa suti akizungumza na wakazi wa kata ya Kibimba Ngara vijijini wakati alipotembelea eneo hilo kuangalia uwezekano wa kupeleka kivuko, kushoto kwake ni Mbunge wa jimbo la Ngara mkoani
Kagera Mhe. Alex Gashaza aliyevaa miwani.
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle kulia akikagua kivuko cha MV. Kyanyabasa kinachotoa huduma katika mto Kyanyabsa mkoani Kagera kushoto ni Meneja wa TEMESA Mkoa wa Kagera Mhandisi Zephrine Bahyona.



Mbunge wa jimbo la Ngara mkoani Kagera Mhe. Alex Gashaza kulia akijadiliana jambo na Mtendaji Mkuu wa TEMESA Mhandisi Japhet Maselle wakati wakisubiri kuvuka katika kivuko cha MV. Ruvuvu kinachotoa huduma katika mto Ruvubu Wilaya ya Ngara mkoani Kagera. Kushoto ni meneja wa TEMESA Kagera Mhandisi Zephrine Bahyona.

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Mhandisi Japhet Y. Maselle wa pili kushoto, meneja wa TEMESA kagera Mhandisi Zephrine Bahyona mbele na Mbunge wa jimbo la Ngara mkoani Kagera Mhe. Alex Gashaza wa tatu kutoka kushoto wakikagua kivuko cha Rusumo.
PICHA ZOTE NA ALFRED MGWENO (TEMESA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...