Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa kongamano lilowakutanisha wasichana kutoka mikoa ya Mara, Dodoma na Dar es Salaam ili kujadili chagamoto zinazomkabili Mtoto wa Kike katika kuelekea maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike katika ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) . Wengine katika picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) Prof. Bernadeta Killian, Balozi wa Sweden nchini Mhe. Andres Sjoberg na Kaimu Mkurugenzi wa Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) Bi.Lennyster Byalugaba.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akizungumza wakati wa kongamano lilowakutanisha wasichana kutoka mikoa ya Mara, Dodoma na Dar es Salaam ili kujadili chagamoto zinazomkabili Mtoto wa Kike katika kuelekea maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike katika ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) . Wengine katika picha ni Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) Prof. Bernadeta Killian (kushoto) na Balozi wa Sweden nchini Mhe. Andres Sjoberg (kulia).
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (wa pili kulia kwa waliokaa) katika picha ya pamoja na washiriki wa kongamano lilowakutanisha wasichana kutoka mikoa ya Mara, Dodoma na Dar es Salaam ili kujadili chagamoto zinazomkabili Mtoto wa Kike katika kuelekea maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike katika ukumbi wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE).
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto) akizungumza na Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) Prof. Bernadeta Killian (kulia) alipokwenda Chuoni hapo kwenye Kongamano lilowakutanisha wasichana kutoka mikoa ya Mara, Dodoma na Dar es Salaam ili kujadili chagamoto zinazomkabili Mtoto wa Kike katika kuelekea maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike.
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kulia) akiaagana na Balozi wa Sweden nchini Mhe. Andres Sjoberg (wa kwanza kushoto), Kaimu Mkurugenzi wa Jukwaa la Utu wa Mtoto (CDF) Bi.Lennyster Byalugaba (katikati) na Mkuu wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) Prof. Bernadeta Killian mara baada ya kuzungumza na washiriki wa Kongamano lilowakutanisha wasichana kutoka mikoa ya Mara, Dodoma na Dar es Salaam ili kujadili chagamoto zinazomkabili Mtoto wa Kike katika kuelekea maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...