Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye akitoa maelekezo kwa Mhandisi George Mmpini wa kampuni ya V. J. Mistry (wa pili kulia) wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa ghati ya Nyemirembe wilayani Chato moani Geita
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa kwanza kushoto) akikagua maendeleo ya ujenzi wa ghati ya Nyemirembe iliyopo wilayani Chato mkoani Geita
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (mbele) akitoka kukagua nyumba zilizojengwa kwa ajili ya kutoa huduma kwa abiria na mizigo kwenye ghati ya Nyemirembe, Chato mkoani Geita
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (aliyeinua mkono) akisisitiza jambo kwa mhandisi George Mmpini wa kampuni ya V. J. Mistry wakati akikagua maendeleo ya ujenzi wa ghati ya Nyemirembe, Chato mkoani Geita
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...