Wakati shamrashamra zikiendelea Mikindani Mtwara, sasa tunabisha hodi Manyara kwenye Viwanja vya Kwara, Babati 13-14 Oktoba
Manyara kuna Maonesho ya Ngoma, Kutembelea Mlima Kwara na Ziwa Babati, Maonesho ya Vyakula vya Jadi, Usiku wa Urithi ambayo ni fursa ya wadau wa biashara za Utalii Manyara kukutana pamoja na Nyamachoma na Nyamapori
Hakuna kiingilio, karibu
#UrithiFestival2019 #MwendoMdund
Manyara kuna Maonesho ya Ngoma, Kutembelea Mlima Kwara na Ziwa Babati, Maonesho ya Vyakula vya Jadi, Usiku wa Urithi ambayo ni fursa ya wadau wa biashara za Utalii Manyara kukutana pamoja na Nyamachoma na Nyamapori
Hakuna kiingilio, karibu
#UrithiFestival2019 #MwendoMdund
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...