Wakati shamrashamra zikiendelea Mikindani Mtwara, sasa tunabisha hodi Manyara kwenye Viwanja vya Kwara, Babati 13-14 Oktoba

Manyara kuna Maonesho ya Ngoma, Kutembelea Mlima Kwara na Ziwa Babati, Maonesho ya Vyakula vya Jadi, Usiku wa Urithi ambayo ni fursa ya wadau wa biashara za Utalii Manyara kukutana pamoja na Nyamachoma na Nyamapori

Hakuna kiingilio, karibu

#UrithiFestival2019 #MwendoMdund

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...